1. KUEPUKA/KUJITOA (AVOIDANCE)
· Upande mmoja hubaki bila kutimiziwa matakwa yake, jambo ambalo linaweza kufanya mgogoro uibuke baadae
· Katika mbinu hii hisia zinafunikwa na kuumiza watu kimya kimya
2. KULAZIMISHA HAKI YAKO (FORCING)
· Mbinu hii huvunja uhusiano
· Upande mmoja “ulioshindwa” mara nyingi hujipanga na kulipiza kisasi
3. KUKUBALI KUPOTEZA/KUACHILIA (ACCOMMODATION)
· Mbinu hii haisaidii kuibua chimbuko la mgogoro
· Upande uliokubali kuachilia unaweza kujenga chuki
4. KILA UPANDE KUKUBALI KUPOTEZA (COMPROMISING)
· Ni nadra kufikia muafaka wa pande zote
· Huwezi kuchukua mazungumzo ya muda mrefu
5. KUSHIRIKIANA/KUTATUA TATIZO (PROBLEM SOLVING)
· Ni njia nzuri lakini inahitaji muda na uvumilivu wa pande zote
· Kuna uwezekano wa watu wanaohusika kuchoka akili na kujitoa kwenye mazungumzo

Newspaper is an amazing magazine blogger theme that is easy to use and change to fit your needs
No comments
Post a Comment