Showing posts with label Peer. Show all posts
Showing posts with label Peer. Show all posts

WATAPIGANA LAKINI HAWATASHINDA


Alitokea kijijini na akuja kusoma mjini lakini alipokuwa na kidato cha pili alifiwa na baba yake, aliporudi toka kwenye msiba alibadilisha kabisa mtazamo wake na kuwa mtu wa maombi Bupe alikuwa anajitahidi kwenye kila upande wa masomo, alikuwa mwanafunzi wa kati sio mwanafunzi anaeongoza darasa

Alipofika kidato cha tatu alijua kuwa alikuwa na ugonjwa wa moyo, aliangalia mazinira ya nyumbani akaona ni lazima aende shule asome ili aje abadilishe maisha. Mazingira ya shule hayakuwa na kikwazo chochote kwenye masomo yake hivyo aliendelea kusoma kupambania maisha ya nyumbani kwao.

Alipomaliza kidato cha nne alichukuliwa na kaka yake na kwenda Dodoma ambapo alikuwa karibu nae kwa uangalizi zaid wa hali yake, hapo hali ilikuwa inakuwa mbaya kila wakati ila alikuwa akimtegemea Mungu, yeye na kaka yake walihangaika kutafuta dawa ya matatizo ya moyo lakini hawakufanikiwa

Kwa bahati mbaya alipomaliza kidato cha nne hakupangiwa shule hivyo aliendelea na maisha kwa upande mwingine kutaka kwenda chuo lakini baada ya miezi 3 toka wenzanke waende shule alichaguliwa second selection alipangiwa shule huko iringa na alienda kwa combination CBG

Alipokuwa kidato cha sita wakati wa mitihani wa mock alishidwa kabisa kwenda kufanya mitihani lakini aliomba afanyie kwenye chumba cha mapumziko, hivyo alifanya mitihani akiwa kitandani, mitihani ilienda kusahihishwa na alipata daraja la pili. Alipata nafuu na alipofika kufanya mitihani ya taifa alifanya viziuri na kupata daraja la pili

Hakufanikiwa kwenda kusoma university alienda kusoma deploma na kusomea Clinical officer amemaliza masomo yake kwa sasa anasubiri kupaniwa kazini amesherehekea siku yake ya kuzaliwa mwaka huu kwa pamoja na watoto yatima

 

Mungu aendelee kukupigania

 

Inspired by true story

 

LIVE INTEGRATED LIFE WITH OTHERS


Dealing with people can be a bit challenging. Some people will do things that offend you, and some will do things that make you happy. At the end of the day, it is important to learn how to tolerate living with both groups of people:

1.      What do you think is tolerance?

2.      How can an intolerant person become tolerant?

3.      Why do you think tolerance is essential, especially in social life?

Meaning of Tolerance

Take a moment to think about your lifestyle: your behaviors, actions, thoughts, and environment. Now think about someone else's. Chances are there are some aspects of other people's lives which annoy you.

Many people are surrounded by others who appear to be 'incompetent' and 'annoying'. Understanding tolerance can help shift our attitudes toward others, leading us to a more productive and happy life.

Tolerance can be defined as a fair and objective attitude towards those whose lifestyle differs from yours. The level of tolerance in your life can be attributed to levels of happiness and contentment, as many researchers have pointed out; However, the same researchers appear to struggle when examining paradoxical questions such as, 'are tolerant people more happy, or are happy people more tolerant?'

 

 

How to Respond to Criticism

How you respond to correction, criticism, and negative feedback shows who you are. Thus, it is essential to learn how to take criticism gracefully and treat these instances as opportunities to grow. If you immediately shut down and act as a victim, you’re unlikely to learn and grow from past mistakes. Receiving corrections is important to your development. Criticism is valuable at times when it helps you improve for the better.

1. Positive Responses

The first step in receiving criticism is to listen actively and make a collaborative effort not to be defensive. Remember that giving criticism can be almost as hard as receiving it, so neither you nor your critic is likely to be entirely comfortable. Once your reviewer/critic has said their piece, whether in person or in writing the following effective tools can help you respond.

2. Ask questions about how you are going to improve

Sometimes the people criticizing you may have an idea already on what you should do to improve. So normally try to ask people to clarify and give out suggestions which many times will be valuable to you.

3. Be thankful for the feedback

It is important to be grateful for the feedback that you get from people especially when it is constructive. Voice up for gratitude and thank them for their feedback.

Because when you do that, you act neutral it really does not show if you are angry or sad. If you show that you are being positive to criticism chances are that people will always be honest with you even in the future and we all know that honesty is invaluable.

4. Distinguish between useful criticism and useless criticism

It is a sad reality that there will always be people who will criticize you and most of them are from negative background and experiences and they are usually looking for something that is not correct. This type of criticism is not the same like useful criticism, so if it happens you meet with such kind of a thing just smile and receive the feedback

5. Ask the time to address their concerns

Plan a timetable where you can meet them and thank them for feedback, by doing this you will also get a time to make some improvement on the areas or things which you got criticized before.

 

KUJITUMA KUNALIPA


Hadithi ya kelvin

Kelvin alizaliwa kijiji cha  Benji iliyoko wilayani Hai Kilimanjaro, alipokuwa darasa la tano baba na mama yake waliachana na Kelvin alibaki na baba yake ambae alimwamishia shule ya bweni kwasababu baba yake ni dereva wa magari ya mizigo, hivyo hashindi nyumbani mara nyingi. Kelvin ni mwanafunzi wa wastani darasani ila anajitahidi ili afaulu maana baba yake alimwambia kuwa huo ndio urithi wake

Alipomaliza darasa la saba alienda shule ya sekondari, siku moja baba yake alimtembelea na kuongea nae akimtaka aongeze juhudi katika masomo yake. Kelvin aliamua kuchukua hatua na kusoma kwa bidii, alianza kuamka usiku na kusoma muda wa ziada, siku za mwisho wa wiki hakuwa anaenda kucheza mpira muda mrefu ila alitumia muda mwingi kujisomea

Alipofika kidato cha pili walifanya mitihani wa mock kelvin alikuwa mwanafunzi bora kwenye somo la kemia na hiyo ilimpa moyo kuwa juhudi zake zinazaa matunda, licha ya kupokea zawadi pia yeye ndiye mwanafunzi anayeongoza darasani

Walipofika kidato cha nne pia walifanya mitihani wa mock na kelvin alikuwa mwanafunzi aliyeongoza katika somo la physics licha ya kuwakatika wilaya ya Hai kulikuwa na wanafunzi wenzake waliokuwa wanaongoza alipokuwa shule ya msingi

Aliemaliza form four kwa kupata daraja la kwanza na kupangiwa shule ya Songea boys kwenye combination ya PCB na aliemaliza shule kwa daraja la kwanza. Chuo alipangiwa Herbert Karuiki University ambapa anachukua masomo uake ya udaktari

 

The story has been inspired by true story

 

© all rights reserved
made with by templateszoo